Ajira

NAFASI 4 za Kazi NBC Bank Tanzania

NAFASI 4 za Kazi NBC Bank Tanzania

Fursa Mpya za Ajira NBC Bank Tanzania Juni 2025

NBC Bank Tanzania, benki kongwe nchini yenye zaidi ya miaka hamsini ya huduma, imetangaza nafasi nne za kazi kwa mwezi Juni 2025. NBC inaongoza katika kutoa huduma za kibenki kwa watu binafsi, biashara, makampuni na uwekezaji, pamoja na huduma za usimamizi wa mali.

Historia ya NBC Bank Tanzania

NBC ilianza rasmi mwaka 1967 kufuatia uamuzi wa serikali ya Tanzania kunationalize taasisi zote za kifedha. Mwaka 1991, sekta ya benki ilifanyiwa marekebisho na mwaka 1997, Benki ya Biashara ya Taifa (National Bank of Commerce) iligawanywa katika taasisi tatu tofauti:

  • NBC Holding Corporation
  • National Microfinance Bank (NMB)
  • NBC (1997) Limited

Nafasi za Kazi Zilizotangazwa NBC

1. Relationship Officer – SME

Mahali: Tawi la Arusha
Tarehe ya Kutangazwa: Siku 4 zilizopita
Rejea: R-15976566
Mwisho wa Maombi: 2025-07-01

2. Business Development Manager

Mahali: Tawi la Industrial
Tarehe ya Kutangazwa: Siku 5 zilizopita
Rejea: R-15976534
Mwisho wa Maombi: 2025-07-01

3. Financial Analyst

Mahali: Makao Makuu
Tarehe ya Kutangazwa: Siku 6 zilizopita
Rejea: R-15976495
Mwisho wa Maombi: 2025-06-29

4. Head – Financial Reporting & Tax

Mahali: Makao Makuu
Tarehe ya Kutangazwa: Siku 6 zilizopita

Tuma Maombi Yako Sasa

Kwa wanaotaka kujiunga na timu ya NBC Bank, nafasi hizi ni fursa ya kipekee. Tembelea kiungo hapa chini kutuma maombi yako moja kwa moja:

🔔 Je? unatafuta Nafasi za Kazi? Jiunge na Watanzania wengine kupitia WHATSAPP CHANNEL kwa matangazo ya ajira kila siku!

🌐 Tembelea Habari Wise kwa habari mpya kila siku!