Mishahara ya Wachezaji wa Yanga kwa Msimu wa 2025/2026
Historia ya Klabu ya Yanga
Young Africans Sports Club (Yanga) ni moja ya vilabu vikubwa vya soka nchini Tanzania, chenye makao yake Jangwani, Ilala, Dar es Salaam. Klabu hii ilianzishwa mwaka 1935 na inatumia Uwanja wa Benjamin Mkapa wenye uwezo wa kuingiza mashabiki 60,000 kama uwanja wake wa nyumbani.
Kwa jina maarufu Yanga, klabu imejipatia umaarufu kutokana na mafanikio yake makubwa ikiwemo kutwaa mataji 31 ya Ligi Kuu Tanzania Bara na vikombe mbalimbali vya ndani. Aidha, imeshiriki mara nyingi kwenye mashindano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na kufanikisha kutwaa Kombe la CECAFA Club Championship mara tano.
Orodha ya Mishahara ya Wachezaji wa Yanga 2025/2026
Hapa chini ni jedwali la mishahara ya wachezaji wa Yanga msimu wa 2025/2026:
# | Mchezaji | Umri | Taifa | Mshahara (TZS) |
---|---|---|---|---|
39 | Djigui Diarra | 30 | Mali | 17M |
1 | Khomeiny Abubakar | 26 | Tanzania | 3M |
16 | Abuutwalib Mshary | 26 | Tanzania | 5M |
4 | Ibrahim Hamad | 27 | Tanzania | 10.5M |
5 | Dickson Job | 24 | Tanzania | 16M |
3 | Bakari Mwamnyeto | 29 | Tanzania | 11M |
– | Shaibu Mtita | – | Tanzania | – |
15 | Mohamed Hussein | 28 | Tanzania | 20M |
23 | Chadrack Boka | 25 | DR Congo | 8M |
21 | Kouassi Yao | 28 | Cote d’Ivoire | 12M |
– | Israel Mwenda | 25 | Tanzania | 6M |
– | Issack Mtengwa | – | Tanzania | – |
33 | Kibwana Shomari | 24 | Tanzania | 5.7M |
– | Balla Moussa Conté | 21 | Guinea | 29.6M |
– | Omary Mfaume Bibo | – | Tanzania | 1.6M |
2 | Aziz Andabwile | 25 | Tanzania | 4.8M |
9 | Abdul Nasir Asaa Mohammed | 27 | Zanzibar | 1.5M |
18 | Salum Abubakar Salum | 36 | Tanzania | 5.5M |
27 | Mudathir Yahya | 29 | Tanzania | 8.7M |
– | Mohamed Doumbia | 26 | Cote d’Ivoire | 14.6M |
22 | Shekhani Khamis | 23 | Tanzania | 2.7M |
38 | Duke Abuya | 31 | Kenya | 4M |
– | Lassine Kouma | 21 | Chad | 13.6M |
40 | Denis Nkane | 21 | Tanzania | 4.5M |
17 | Faridi Mussa | 29 | Tanzania | 3.2M |
– | Célestin Ecua | 23 | Chad | 8.3M |
7 | Maxi Nzengeli | 25 | DR Congo | 10M |
9 | Edmund Godfrey John | 22 | Tanzania | 2.6M |
26 | Pacôme Zouzoua | 28 | Cote d’Ivoire | 22M |
31 | Offen Chikola | 26 | Tanzania | 3M |
29 | Prince Dube | 28 | Zimbabwe | 15M |
– | Andy Boyeli | 24 | DR Congo | 20M |
24 | Clement Mzize | 21 | Tanzania | 32M |
Nafasi ya Yanga Afrika na Dunia
Katika viwango vya IFFHS (International Federation of Football History & Statistics), Yanga iliorodheshwa miongoni mwa vilabu bora Afrika, ikishika nafasi ya 80 kati ya vilabu kumi bora barani. Kimataifa, ilipanda hadi nafasi ya 104 duniani kati ya 2022–2023, ikionesha ukuaji mkubwa wa hadhi ya klabu.

Mafanikio ya Hivi Karibuni
Baada ya kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu msimu wa 2023/2024 kwa mara ya tatu mfululizo, Yanga iliandika historia kwa kufikisha jumla ya mataji 30 ya Ligi Kuu Tanzania Bara. Hatua hii imeifanya klabu kuwa na hadhi kubwa ndani na nje ya mipaka ya Tanzania.
Hitimisho
Yanga SC imeendelea kuwekeza kwa wachezaji wenye vipaji na kutoa mishahara mikubwa ili kuhakikisha inabaki kuwa klabu bora ndani na nje ya Tanzania. Kiwango cha mishahara kinachoonekana kinaashiria ukubwa wa klabu na dhamira yake ya kuendelea kutwaa mataji zaidi.