Michezo

Kikosi cha Simba SC Msimu wa 2025/2026

Kikosi Kamili cha Simba SC Msimu wa 2025/2026

Kikosi Kipya cha Simba SC Msimu wa 2025/2026: Orodha Kamili ya Wachezaji, Fahamu wachezaji wote waliomo kwenye kikosi cha Simba SC msimu wa 2025/2026, wakiwemo nyota wapya na waliobaki kwa safari ya NBC na CAF.

Kikosi Kamili cha Simba SC Msimu wa 2025/2026

Klabu ya Simba SC imekamilisha maandalizi ya msimu mpya wa mashindano kwa kutangaza kikosi chake rasmi kitakachoshiriki Ligi Kuu ya NBC pamoja na michuano ya kimataifa kama Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League). Hapa chini ni wachezaji waliothibitishwa kuunda kikosi hicho kwa msimu wa 2025/2026.

  1. Moussa Camara
  2. Hussein Abel
  3. Shomari Kapombe
  4. Anthony Mligo
  5. Karaboue Chamou
  6. Rushine De Reuck
  7. Abdurazack Hamza
  8. Yusuph Kagoma
  9. Jonathan Sowah
  10. Elie Mpanzu
  11. David Kameta
  12. Mohamed Mussa
  13. Jean Charles Ahoua
  14. Alassane Kante
  15. Steven Mukwala
  16. Joshua Mutale
  17. Mzamiru Yassin
  18. Morice Abraham
  19. Awesu Awesu
  20. Valentino Mashaka
  21. Hussein Daudi Semfuko
  22. Mohamed Bajaber
  23. Anthony Mligo
  24. Naby Camara
  25. Ahmed Pipino
  26. Yakoub Suleiman
  27. Seleman Mwalimu
  28. Neo Maema

Matarajio kwa Msimu Mpya

Simba SC imedhamiria kurejea kwenye kilele cha mafanikio ndani ya nchi na nje ya mipaka ya Tanzania. Kikosi hiki kipya kinaonekana kuwa na mchanganyiko wa uzoefu na vipaji chipukizi, huku baadhi ya majina mapya yakiwa ni usajili wa kimataifa wenye lengo la kuimarisha kila idara ya timu.

Maandalizi kwa Mashindano ya Afrika

Kikosi hiki kinatarajiwa kuingia kambini mapema kujiandaa na CAF Champions League, ambapo Simba inalenga kuvuka hatua ya robo fainali na kutwaa taji hilo la kifahari barani Afrika.

Endelea kutembelea tovuti yetu kwa taarifa mpya za maendeleo ya Simba SC, mechi za kirafiki, na usajili unaoendelea kabla ya kuanza kwa msimu rasmi.

🔔 Kwa habari mpya za Michezo. Jiunge na Watanzania wengine kupitia WHATSAPP CHANNEL kwa matangazo ya michezo kila siku!
🌐 Tembelea Habari Wise kwa habari mpya kila siku!