Orodha ya Majina ya Walioitwa Kazini Utumishi – Angalia Hapa
Orodha ya Waliofaulu Usaili na Kupangiwa Kazi
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ametangaza majina ya waombaji kazi waliofaulu usaili uliofanyika kati ya tarehe 2 Septemba 2024 hadi 17 Mei 2025. Orodha hii inawasilisha majina ya waliochaguliwa kuajiriwa katika nafasi mbalimbali za kazi ndani ya taasisi za umma.
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 23-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 23-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 21-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 20-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI TAASISI MBALIMBALI ZA UMMA 20-06-2025
- TANGAZO LA KUITWA KAZINI WIZARA YA AFYA 20-06-2025
Waliochaguliwa Kutoka Kanzidata
Mbali na waliofaulu usaili wa moja kwa moja, tangazo hili pia linahusisha waombaji waliokuwepo kwenye kanzidata ya Sekretarieti ya Ajira. Waombaji hao wameteuliwa kujaza nafasi zilizoibuka kwenye kada mbalimbali, na sasa wamepangiwa vituo rasmi vya kazi.
Angalia Tangazo la Kuitwa Kazini Juni 2025
Tangazo hili linaorodhesha majina yote ya walioteuliwa kuanza kazi rasmi kuanzia tarehe 20 Juni 2025 katika taasisi mbalimbali za umma. Kwa waliotuma maombi na kufanyiwa usaili ndani ya kipindi husika, ni muhimu kuangalia kama jina lako limejumuishwa kwenye orodha hiyo mpya.
🔔 Je? unatafuta Nafasi za Kazi? Jiunge na Watanzania wengine kupitia WHATSAPP CHANNEL kwa matangazo ya ajira kila siku!
🌐 Tembelea Habari Wise kwa habari mpya kila siku!