Matokeo ya Mtihani wa Mock Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Rukwa
Wanafunzi wa darasa la saba mkoani Rukwa wamefanya mtihani wa majaribio (mock) mwaka 2025, ikiwa ni hatua muhimu ya maandalizi kuelekea mtihani wa kitaifa wa PSLE. Matokeo haya yanatoa mwanga kuhusu kiwango cha ufaulu katika shule mbalimbali za msingi ndani ya mkoa huo.
Wazazi, walimu na wanafunzi sasa wanaweza kuyatazama matokeo haya kwa kubofya kiungo rasmi kilichowekwa mtandaoni. Taarifa hizi ni muhimu kwa ajili ya kujua maendeleo ya wanafunzi na kuweka mikakati bora ya kujiandaa na mtihani wa mwisho.
Tazama Matokeo Hapa
➡️ Bofya hapa kuona matokeo ya mock Rukwa 2025
Matokeo yanaonyesha shule zilizofanya vizuri na zile zinazohitaji kuboresha mbinu za ufundishaji. Pia ni fursa kwa wadau wa elimu kuchukua hatua stahiki za kuinua kiwango cha ufaulu kabla ya mtihani wa kitaifa.
🔔 Je? unatafuta Nafasi za Kazi? Jiunge na Watanzania wengine kupitia WHATSAPP CHANNEL kwa matangazo ya ajira kila siku!
🌐 Tembelea Habari Wise kwa habari mpya kila siku!