Ajira

Nafasi 2 za Kazi Mo Finance Corporation Tanzania

Nafasi za Kazi Mo Finance Corporation Tanzania

Nafasi za Kazi Mo Finance Corporation

Mo Finance Corporation Ltd ni taasisi ya kifedha inayojihusisha na huduma za mikopo midogo isiyo na amana, iliyoanzishwa chini ya Sheria ya Makampuni ya mwaka 2002. Kampuni hii imepewa leseni na Benki Kuu ya Tanzania (BoT) chini ya Sheria ya Mikopo Midogo ya mwaka 2018 (Sura ya 407) pamoja na kanuni zake za mwaka 2019.

Kwa sasa, kampuni inaendesha shughuli zake za kifedha kote Tanzania na makao yake makuu yapo jijini Dar es Salaam.

Nafasi Zilizotangazwa

1. Collection Officer

2. Sales & Marketing Executive

Jinsi ya Kutuma Maombi

Waombaji wote wenye nia na sifa zinazohitajika wanahimizwa kuwasilisha maombi yao kwa kutembelea ukurasa rasmi wa kampuni kupitia kiungo kilichopewa hapa chini:

👉 Tuma Maombi Kupitia Tovuti Rasmi ya Mo Finance Corporation

Mo Finance Corporation inawakaribisha waombaji wenye ari na malengo ya kukuza taaluma zao kwenye sekta ya fedha kushiriki nafasi hizi za ajira.

🔔 Je, unatafuta Kazi? Jiunge na Watanzania wengine kupitia WHATSAPP CHANNEL kwa matangazo ya ajira kila siku!
🌐 Tembelea Habari Wise kwa habari mpya za ajira kila siku!