Ajira

Nafasi za Kazi Kairuki Hospital 2025

Nafasi za Kazi Kairuki Hospital 2025

Nafasi za Kazi Kairuki Hospital Tanzania 2025

Hospitali ya Kairuki iliyopo Mikocheni, Dar es Salaam, inakaribisha maombi kutoka kwa waombaji wenye sifa, uzoefu na uwezo wa kitaaluma kujaza nafasi zifuatazo:

1. Marketing & Public Relations Manager (Nafasi 1)

Mahali: Mikocheni, Dar es Salaam
Aina ya Ajira: Muda Wote
Idara: Marketing and PR
Anaripoti Kwa: Director General

Majukumu:

  • Kuandaa na kusimamia mikakati ya masoko na PR ili kuimarisha jina, taswira na ushirikiano wa hospitali na jamii.

Sifa:

  • Shahada ya Masoko, PR, Mawasiliano au taaluma inayohusiana (Shahada ya Uzamili inapendelewa).
  • Uzoefu wa angalau miaka 5 kwenye PR/Masoko, hususan sekta ya afya.
  • Uwezo mzuri wa mawasiliano, uhusiano na vyombo vya habari pamoja na ujuzi wa digital marketing.

2. Digital Communication Officer (Nafasi 1)

Mahali: Mikocheni, Dar es Salaam
Aina ya Ajira: Muda Wote
Anaripoti Kwa: Marketing and PR Manager

Majukumu:

  • Kusimamia mikakati ya mawasiliano ya kidijitali ya hospitali ili kuongeza mwonekano wa chapa na ushirikiano na jamii.

Sifa:

  • Shahada ya Mawasiliano, Digital Marketing, Uandishi wa Habari au taaluma inayohusiana.
  • Uzoefu wa angalau miaka 3 kwenye digital communications/social media.
  • Ujuzi wa graphic design, multimedia editing, CMS, analytics tools, na SEO/SEM.

3. Dereva (Nafasi 1)

Mahali: Mikocheni, Dar es Salaam
Aina ya Ajira: Muda Wote
Anaripoti Kwa: Transport Officer / Head Driver

Majukumu:

  • Kusafirisha wagonjwa, vifaa na dawa kwa usalama na kwa wakati.

Sifa:

  • Elimu ya Sekondari (Kidato cha Nne) + Cheti cha Udereva kutoka NIT.
  • Uzoefu wa angalau miaka 2 katika udereva, inapendelewa kwenye sekta ya afya.
  • Leseni halali ya udereva, rekodi safi; cheti cha huduma ya kwanza kitapewa kipaumbele.

Jinsi ya Kutuma Maombi

  • Andika barua ya maombi ikielekezwa kwa Director General, Kairuki Hospital, Dar es Salaam.
  • Ambatanisha CV iliyosasishwa, vyeti vya taaluma/professional vilivyothibitishwa, ushuhuda na mawasiliano ya waamuzi wawili (referees).
  • Tuma maombi kupitia barua pepe: [email protected]
  • Weka jina la nafasi unayoomba kwenye subject line ya barua pepe.
  • Ni waombaji waliochaguliwa pekee watakaowasiliana.

📌 Mwisho wa kutuma maombi: 13 Septemba 2025, saa 10:30 jioni.