Ajira

Nafasi za Kazi Vodacom Tanzania – Juni 2025

Nafasi Mpya za Kazi Vodacom Tanzania – Juni 2025

Nafasi Mpya za Kazi Vodacom Tanzania

Vodacom Tanzania Limited, moja ya kampuni kubwa na inayoongoza katika huduma za mawasiliano nchini, imetangaza nafasi mbalimbali za ajira kwa mwezi Juni 2025. Ikiwa ni tanzu ya Vodacom Group – kampuni kubwa ya mawasiliano barani Afrika – Vodacom Tanzania inatoa fursa kwa Watanzania wenye sifa kujiunga na timu yao ya kitaalamu.

Historia kwa Ufupi

Vodacom Group ilianza shughuli zake nchini Tanzania baada ya kupata leseni mnamo Desemba 1999, na kuanzisha kampuni ya Vodacom Tanzania Limited. Mnamo 2007, Vodacom ilikua ya pili Afrika kuwasha teknolojia ya 3G HSDPA, ambayo ilianza kupatikana jijini Dar es Salaam.

Nafasi Zinazopatikana Juni 2025

Vodacom inatafuta wataalamu mbalimbali kwa nafasi zifuatazo:

CheoMahaliTarehe
Territory Manager – SameSame22 Mei 2025
Territory Manager – MbeyaMbeya29 Mei 2025
Territory Manager – BariadiBariadi7 Juni 2025
M-Pesa Lead – CentralDodoma12 Juni 2025
Territory Manager – KibahaDar es Salaam22 Mei 2025
IP Planner and OPS (Mkataba wa Miaka 2)Dar es Salaam25 Mei 2025
Performance Engineer (Mkataba wa Miaka 2)Dar es Salaam25 Mei 2025
Program ManagerDar es Salaam26 Mei 2025
Manager: Cyber DefenceDar es Salaam31 Mei 2025
Analyst: P2P, T&E and APADar es Salaam9 Juni 2025
M-Pesa Internal Audit SpecialistDar es Salaam9 Juni 2025

Jinsi ya Kutuma Maombi

Watu wote wenye sifa stahiki wanakaribishwa kutuma maombi kwa nafasi walizoziona zinaendana na taaluma au uzoefu wao.

BONYEZA HAPA KUTUMA MAOMBI

Pata Matangazo ya Kazi Kila Siku

Unatafuta kazi mpya au unataka kujua mara moja nafasi zinapotangazwa?

🟢 Jiunge na Watanzania wengine kupitia WhatsApp Channel yetu rasmi:
👉 Jiunge Hapa