Michezo

Ratiba Rasmi ya CHAN 2025

Ratiba Rasmi ya CHAN 2025

Michuano ya CHAN 2025: Ratiba Rasmi ya CHAN

Michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wachezaji wa Ndani (CHAN), inayoratibiwa na CAF, sasa imepangiwa kuanza rasmi tarehe 2 hadi 30 Agosti 2025, baada ya kuahirishwa kutoka mwezi wa Februari kutokana na kutokamilika kwa miundombinu ya nchi waandaji. Mashindano haya yameandaliwa kwa ushirikiano kati ya Tanzania, Kenya na Uganda.

CHAN ni Nini?

CHAN ni michuano ya kipekee ya CAF inayojumuisha wachezaji wanaocheza ligi za ndani pekee katika nchi zao husika. Wachezaji wa kulipwa wanaocheza nje ya nchi hawaruhusiwi kushiriki.

Sababu ya Kuahirishwa kwa CHAN 2024

Michuano hii ilipangwa kufanyika Februari 2024 lakini ikasogezwa mbele hadi Agosti 2025 ili kuruhusu maandalizi zaidi ya miundombinu, viwanja na huduma nyingine muhimu kutoka kwa nchi tatu zinazoiandaa.

Makundi ya CHAN 2025

Timu shiriki zimegawanywa katika makundi manne: A, B, C na D.

🗓 Ratiba ya Mechi: CHAN 2025

Kundi A

TareheSaaMechi
Jumapili 3 Agosti15:00Kenya vs Congo DR
18:00Morocco vs Angola
Alhamisi 7 Agosti16:00Congo DR vs Zambia
19:00Angola vs Kenya
Jumapili 10 Agosti15:00Kenya vs Morocco
18:00Zambia vs Angola
Alhamisi 14 Agosti17:00Morocco vs Zambia
20:00Angola vs Congo DR
Jumapili 17 Agosti15:00Congo DR vs Morocco
15:00Zambia vs Kenya

Kundi B

TareheSaaMechi
Jumamosi 2 Agosti20:00Tanzania vs Burkina Faso
Jumapili 3 Agosti20:00Madagascar vs Mauritania
Jumatano 6 Agosti17:00Burkina Faso vs CAR
20:00Mauritania vs Tanzania
Jumamosi 9 Agosti17:00CAR vs Mauritania
20:00Tanzania vs Madagascar
Jumatano 13 Agosti17:00Madagascar vs CAR
20:00Mauritania vs Burkina Faso
Jumamosi 16 Agosti20:00Burkina Faso vs Madagascar
20:00CAR vs Tanzania

Kundi C

TareheSaaMechi
Jumatatu 4 Agosti17:00Niger vs Guinea
20:00Uganda vs Algeria
Ijumaa 8 Agosti17:00Algeria vs South Africa
20:00Guinea vs Uganda
Jumatatu 11 Agosti17:00South Africa vs Guinea
20:00Uganda vs Niger
Ijumaa 15 Agosti17:00Guinea vs Algeria
20:00Niger vs South Africa
Jumatatu 18 Agosti20:00Algeria vs Niger
20:00South Africa vs Uganda

Kundi D

TareheSaaMechi
Jumanne 5 Agosti17:00Congo vs Sudan
20:00Senegal vs Nigeria
Jumanne 12 Agosti17:00Senegal vs Congo
20:00Sudan vs Nigeria
Jumanne 19 Agosti20:00Nigeria vs Congo
20:00Sudan vs Senegal

⚽ Hatua za Mtoano – Knockout Stage

Robo Fainali

TareheSaaMechi
Ijumaa 22 Agosti17:00TBC vs TBC
20:00TBC vs TBC
Jumamosi 23 Agosti17:00TBC vs TBC
20:00TBC vs TBC

Nusu Fainali

TareheSaaMechi
Jumanne 26 Agosti17:30TBC vs TBC
20:30TBC vs TBC

Mchezo wa Mshindi wa Tatu

TareheSaaMechi
Ijumaa 29 Agosti18:00TBC vs TBC

Fainali

TareheSaaMechi
Jumamosi 30 Agosti18:00TBC vs TBC

Mechi ya Ufunguzi: Tanzania vs Burkina Faso

Michuano ya CHAN 2025 itafunguliwa rasmi Jumamosi, 2 Agosti 2025, kwa mchezo kati ya Tanzania na Burkina Faso utakaopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam saa 20:00 kwa saa za Afrika Mashariki (17:00 GMT).

CHAN 2025 ni fursa muhimu kwa wachezaji wa ndani kuonesha vipaji vyao, na kwa mashabiki, ni wakati wa kujivunia soka la nyumbani. Endelea kufuatilia kwa ratiba kamili, matokeo na mabadiliko mengine yatakapotokea.

🔔 Kwa habari mpya za Michezo. Jiunge na Watanzania wengine kupitia WHATSAPP CHANNEL kwa matangazo ya michezo kila siku!
🌐 Tembelea Habari Wise kwa habari mpya kila siku!